Hata hivyo Andre Gray, alikuwa na fursa nzuri ya kuifungia Burnley katika kipindi cha kwanza wakati mkwaju wake ulipozuiwa na mlinzi Eric Bailly.
Inamaana kuwa United inabaki nafasi ya tano katika Ligi kabla ya kukutana na hasimu wake Manchester City siku ya Alhamis. Burnley nao wameshinda mara moja katika mechi 11 wakiwa katika nafasi ya 15.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |