Waandishi wa habari wa ndani na nje wa Radio China Kimataifa CRI wameanza ziara huko Xi'an, mji mkuu wa mkoa wa Shan Xi hii leo.
Katika ziara hiyo ya siku 5, waandishi hao kutoka nchi 20 watatembelea sehemu mbalimbali mkoani humo na kutoa taarifa kuhusiana na jinsi mkoa huo unavyoshiriki katika pendekezo la "Ukanda Mmoja Njia Moja" na kujenga maeneo ya majaribio ya biashara huria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |