Mamilioni ya wateja wa Safaricom hii leo asubuhi wamepata shida ya kupiga simu baada ya kampuni ya mawasailiano ya Safaricom kukumbwa na shida za kiufundi.
Tatizo hili la kiufundi limeathiri wateja wa matando huu nchi nzima na kampuni imehakikishia wateja wake kwamba inashughulikia shida hiyo.
Takwimu kutoka kwa Mamlaka ya Mawasiliano ya Kenya inaonyesha kwamba Safaricom ina wateja milioni 26.6 wanaotumia matandao huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |