Hii ni meli ya pili ya kubeba ndege za kivita ya China baada ya Liaoning, meli ya aina hiyo iliyotengenezwa na Shirikisho la Urusi na kuanza kutumiwa na Jeshi la China mwaka 2012.
Baada ya uzinduzi huo, meli hiyo itafanyiwa majaribio ya vifaa vyake, kusafiri na kutia nanga.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |