• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China yaeleza ufuatiliaji mkubwa kuhusu uwekaji wa THAAD

    (GMT+08:00) 2017-04-26 18:47:41
    China imeeleza ufuatiliaji wake mkubwa kwa Marekani na Korea Kusini baada ya vifaa vya mfumo wa kujilinda dhidi ya makombora wa THAAD kufika nchini Korea Kusini kwa ajili ya uwekaji.

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bw. Geng Shuang amesema, China imezitaka Marekani na Korea Kusini ziondoe vifaa hivyo na kusimamisha uwekaji huo. Amesema uwekaji wa mfumo wa THAAD utaharibu uwiano wa kimkakati wa kanda hiyo, kusababisha hali ya Peninsula ya Korea izidi kuwa mbaya, na pia kuharibu vikali maslahi ya usalama wa kimkakati wa China. Ameongeza kuwa China itachukua hatua zote zinazohitajika kulinda maslahi yake.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako