• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Korea kaskazini yailaumu Korea Kusini kwa kuzusha mvutano peninsula ya Korea

    (GMT+08:00) 2017-05-01 09:04:46

    Korea kaskazini imesema luteka ya pamoja ya Marekani na Korea kusini, na Marekani kuweka zana za kinyuklia kwenye peninsula ya Korea ni chanzo cha kuongezeka kwa mvutano kwenye kanda hiyo. Naibu waziri wa mambo ya nje wa Korea Kaskazini Bw. Han Song Ryol amesema nchi yake itachukua hatua imara kuendeleza uwezo wake wa kinyuklia ili kulinda mamlaka, haki zake, na amani ya peninsula hiyo, kutokana na tishio la Marekani kuanzisha vita vya kinyuklia dhidi ya Korea Kaskazini.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako