• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rais wa Russia asema mkutano wa wakuu wa G20 utajadili namna ya kuondoa vizuizi vya maendeleo ya uchumi wa dunia

    (GMT+08:00) 2017-05-04 18:13:55

    Rais Vladimir Putin wa Russia amekutana na Kansela wa Ujerumani Bi. Angela Merkel ambaye yuko ziarani nchini Russia. Wakizungumza na waandishi wa habari baada ya mkutano huo, rais Putin amesema, kwenye mkutano wa wakuu wa Kundi la nchi 20 utakaofanyika mwezi Julai nchini Ujerumani, wakuu wa kundi la nchi 20 (G20) watajadili mada mbalimbali ikiwemo namna ya kuondoa vizuizi vya maendeleo ya uchumi wa dunia.

    Rais Putina pia amesifu maendeleo ya biashara kati ya Russia na Ujerumani, na kusema biashara kati ya nchi hizo mbili imeanza kuongezeka tangu mwanzo wa mwaka huu, na mustakabali wa uhusiano wa kiuchumi na kibiashara kati yao ni mzuri.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako