Mawaziri wakutana Kigali kujadili Umoj wa Afrika
Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Afrika wanatarajiwa kukutana Jumapili mjini Kigali Rwanda, kujadili utekelezaji wa mageuzi ya Umoja wa Afrika.
Kwenye mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika uliofanyika mwezi Julai mwaka jana mjini Kigali, nchi wanachama wa Umoja huo walimkabidhi rais Paul Kagame wa Rwanda jukumu la kuongoza mageuzi ya umoja huo, ili kuuwezesha utimize malengo yake na kuhudumia kihalisi watu wa Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |