Operesheni hizo zilizoanza mwezi wa Oktoba mwaka jana zimepata maendeleo na kukomboa sehemu za mashariki mwa Mosul kutoka kwa kundi la IS.
Habari zinasema juzi serikali ilifungua tena daraja la Nimrud. lililofungwa tangu tarehe 2 mwezi wa Mei kutokana na kuongezeka kwa kina cha maji na kukwamisha usafirishaji.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |