Askari hao watapelekwa nchini Mali kwa makundi mawili, ambapo watakuwa huko kwa mwaka mmoja. Askari hao ni pamoja na wahandisi kutoka jeshini, walinda amani, na wahudumu wa afya.
Hiki ni kikosi cha tano cha walinzi wa amani kutoka China kupelekwa nchini Mali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |