Miongoni mwa madereva walioonyeshwa kivumbi na bingwa huyu wa Kenya mwaka 2016 ni mshindi wa Kenya na Afrika mwaka 2015 Jaspreet Chatthe pamoja na bingwa wa zamani wa Kenya, Baldev Chager.
Baada ya ushindi wake huo, Tapio amemshukuru muelekezi wake Gavin Laurence kwa kumpatia maelekezo mazuri.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |