Jumla ya wapiganaji 27 wa kundi la Islamic State wameuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na muungano wa kimataifa wa kupambana na kundi hilo kwenye mkoa wa Anbar ulioko magharibi mwa Iraq ambao sasa unadhibitiwa na kundi la IS.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |