Mara tu kipenga cha kuumaliza mchezo waliolazimisha sare ya 1-1 na Zoo Kericho kupulizwa uwanjani Machakos, Hall aliondoka huku akikataa kuzungumza na wanahabari, ikiwa ni tofauti na ilivyo desturi yake ambapo huingia uwanjani kupongeza wachezaji wake kisha wakaondoka.
Hiyo ilikuwa mechi ya tatu mfululizo kwa AFC Leopards kutopata ushindi, baada ya kupokea kichapo kwa watani wao wa jadi Gor Mahia, na kisha kufungwa na Sony Sugar.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |