Hata hivyo, Juve wanabaki kileleni mwa Serie A wakiwa pointi 4 mbele ya Roma huku mechi zikibaki 2 na Jumapili ijayo, wakiwa kwao Juventus Stadium Jijini Turin, wana nafasi nyingine ya kuwa Mabingwa ikiwa wataifunga Crotone.
Kabla ya hapo, kesho Jumatano usiku, wanapambana na SS Lazio kwenye fainali ya Coppa Italia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |