• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Upanuzi wa mtandao wa umeme kunufaisha watu milioni 25 nchini Msumbiji ifikapo mwaka 2030

    (GMT+08:00) 2017-05-16 09:03:28

    Shirika la umeme la Msumbiji limesema watu wapatao milioni 25 nchini humo watanufaika na mpango wa upanuzi wa gridi ya taifa unaolenga kuunganisha maeneo mengi zaidi mijini na vijijini. Ofisa wa shirika hilo Pascoal Bassela amesema shirika hilo litawekeza dola milioni 100 za kimarekani kila mwaka katika kupanua mtandao wa umeme, ambao unatarajiwa kufika maeneo ya nchi nzima ifikapo mwaka 2030, na kutoa huduma za umeme kwa kila familia nchini humo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako