Raia zaidi ya 40 wameuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa jana na muungano wa kimataifa unaoongozwa na Marekani wa kupambana na kundi la Islamic State mkoani Deir ez-Zor, mashariki mwa Syria. Kabla ya hapo, mashambulizi ya anga yaliyofanywa na muungano huo tarehe 10 na 11 mwezi huu yalisababisha vifo vya raia zaidi ya 20.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |