Raia zaidi ya 40 wameuawa katika shambulizi la anga lililofanywa na jeshi la muungano linaloongozwa na Marekani dhidi ya kundi la IS katika mji wa Abu Kamel, Syria unaodhibitiwa na kundi hilo.
Habari zinasema, serikali ya Syria imesema shambulizi hilo halikuidhinishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, na kulaani jeshi hilo kuwaua raia wengi wa Syria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |