Katika mashindano hayo, jana Kenya waliibuka kidedea kwa kuzoa medali 3 za dhahabu kwenye mbio za mita 800 kwa wasichana na wavulana pamoja na mita 3000, huku Tanzania ikiibuka kidedea katika mita 100 kwa wasichana katika mchezo wa kubadilishana vijiti.
Mashindano hayo ya siku mbili yanakamilika leo yanahusisha timu 7 za Afrika mashariki na kati.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |