• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • WHO yasema iko tayari kutoa chanjo ya ebola DRC

    (GMT+08:00) 2017-05-17 09:12:18

    Shirika la afya duniani WHO limesema linafanya uchunguzi na tathmini kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa ebola nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo, ili kuamua kama litatumia au la chanjo mpya kudhibiti ugonjwa huo. Hivi sasa watu 19 wameripotiwa kuambukizwa ebola nchini DRC, na wagonjwa watatu kati yao wamefariki.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako