Ushindi huo umekuja siku mbili baada ya jeshi hilo kukombea eneo la al-Uraybi mjini Mosul.
Mwezi Januari mwaka huu, waziri mkuu wa Iraq Bw. Haider al-Abadi alitangaza kukombolewa kwa maeneo ya mashariki mwa Mosul, na Mwezi Februari alitangaza kuanza kwa operesheni ya kuwaondoa wapiganaji wa kundi la IS kutoka kwenye sehemu ya magharibi mwa mji huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |