Wateja wa huduma za mawasiliano za Tigo nchini Rwanda watafurahia puguzo la ada za kupiga.
Kampuni hiyo imesema sasa kupiga simu kwa dakika moja kutagharimu franc 35 kwenye mitandao yoyote.
Akitangaza punguzo hilo mkurungezi wa Tigo Yaw Ankoma Agyapong, amesema sasa watawezesha wateja zaidi kuwasiliana na jamaa zao na pia kusaidia biashara ndogo ndogo kukua
Awali ada ya kupiga simu kwa dakika moja ilikuwa ni franc 40 na franc 51 kwa simu za kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |