Watu watatu wamefariki dunia na wengine ishirini wameripotiwa kuambukizwa homa ya Ebola katika kijiji cha Likati kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo. Hii ni wiki tatu tangu Shirika la afya dunia WHO kutangaza kuwepo kwa mlipuko wa homa hiyo. Serikali ya Mkoa wa Basuele imekuwa ikifanya juhudi kudhibiti kuenea kwa ugonjwa huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |