Kabla ya mkutano huo, Marekani na kamati hiyo zilisaini makubaliano ya kuanzisha Kituo cha kupambana na utakatishaji wa fedha na ufadhili wa ugaidi.
Rais Trump aliwasili nchini Saudi Arabia tarehe 20 na kuanza ziara yake ya kwanza tangu aingie madarakani. Kwenye ziara hiyo, rais Trump pia alisaini makubaliano ya kuiuzia Saudi Arabia vifaa vya kijeshi vyenye thamani ya dola bilioni 110 za kimarekani. Wizara ya mambo ya ndani ya Marekani imeyataja kuwa hatua ya kulinda usalama wa kanda ya Ghuba na kuimarisha uwezo wao wa kupambana na ugaidi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |