• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tshabalala mchezaji bora ligi kuu Mei, awabwaga Niyonzima na Shaabani Idd

    (GMT+08:00) 2017-05-23 08:21:56

    Bekia Simba SC, Mohamed Hussein 'Tshabalala' amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya Vodacom Tanzaniua Bara wa mwezi Mei kwa msimu wa 2016/2017.

    Hussein aliwashinda wachezaji Haruna Niyonzima wa Yanga na Shabani Idd wa Azam FC.

    Katika mwezi Mei kulikuwa na raundi 3 ambazo Hussein alicheza kwa dakika zote 270 na kutoa mchango mkubwa katika kuisadia timu yake kubaki katika nafasi ya 2 kwenye msimamo wa ligi kuu ya Vodacom.

    Pia alionesha nidhamu ya hali ya juu, hivyo kutopewa onyo la aina yoyote.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako