Shambulizi la mabomu yaliyotengwa kando ya barabara lililotokea jana mjini Baidoa, kusini mwa Somalia limesababisha vifo vya wanajeshi watano wa serikali. Kundi la Al-Shabaab limetangaza kuhusika na shambulizi hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |