Baraza la usalama la Israel limepitisha uamuzi wa kutekeleza hatua zinazosaidia maendeleo ya uchumi wa Palestina, zikiwemo kuwapa idhini zaidi kwa wapalestina kujenga nyumba kando ya magharibi ya mto Jordan, kupanua maeneo mawili ya viwanda yaliyoko kaskazini mwa kando ya magharibi, kulegeza udhibiti dhidi ya wafanyakazi wa Palestina wanaoingia Israel, na kufungua kabisa forodha kati ya kando ya Magharibi na Jordan.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |