• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Teknolojia mpya kutumika kwa utayarishaji sukari

    (GMT+08:00) 2017-05-23 18:55:46

    Kampuni mpya ya sukari ya Kwale imegeuka kuwa mojawapo ya kampuni kubwa zaidi za sukari hapa nchini Kenya kutokana na matumizi teknolojia ya kisasa.

    Kampuni hiyo Inaweza kusaga tani elf-3 za miwa kila siku.

    Kampuni hiyo iliyojengwa katika ardhi ya hekta-5,500 katika kaunti ya Kwale inategemea zaidi kilimo cha unyunyiziaji maji kwenye upanzi wa miwa.

    Kampuni ya sukari ya Kwale imekuwa ikivuna tani-60 za miwa inayotegemea maji ya mvua na tani-140 za miwa inayokuzwa kwa njia ya unyunyiziaji maji. Meneja wa shughuli kwenye kampuni hiyo, Ravi Chandra amesema kampuni hiyo imekuwa ikiuza sukari iliyopakiwa kwenye mifuko ya kilo-50 na sasa itauza sukari katika pakiti za kilo moja, kilo mbili na hata gramu mia tano na mia mbili hamsini kabla ya mwisho wa mwaka huu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako