Safari hizo zitafanyika mara mbili kwa wiki siku ya Jumanne na Jumamosi ikiwa ni mpango wa kuimarisha ushirikiano wa biashara baina ya nchi hizi mbili.
Mbali na safari za Chengdu Ethiopian Airline inahudumu safari za abiria na mizigo katika miji ya Beijing ,Shanghai,Guangzhou na Hong Kong.
Ethiopia inalenga aidha safari hiyo itaongeza idadi ya watalii kutoka China.
Kampuni ya Ethiopian Airlines inaongoza kwa huduma bora barani Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |