Bei ya mafuta imeendelea kupanda kabla ya mkutano wa Jumuiya ya nchi zinazozalisha mafuta OPEC unaotarajiwa kufanyika kesho huko Vienna, na kuwakutanisha wajumbe wa nchi zinazozalisha mafuta, ikiwemo Russia, ambao watajadili na kuamua kama watarefusha makubaliano ya kupunguza uzalishaji wa mafuta yaliyofikiwa Desemba mwaka jana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |