Mrusha mikuki raia wa Uholanzi Steve Wijler amefanikiwa kushinda medali ya dhahabu katika mashindano ya dunia ya kurusha mikuki ya Hyundai mjini Shanghai China.
Steve mwenye umri wa miaka 20 alifanikiwa kushinda katika mizunguko yote na kumfunga bingwa wa dunia wa kurusha mikuki Kim Woojin katika hatua ya kwanza.
Ameshinda kwa pointi 29 dhidi ya mpinzani wake Woojin aliyepata pointi 26.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |