Ajax watakuwa na shauku ya kuwania kutwaa kombe la ulaya kwa mara ya kwanza baada ya miaka 22 wakati Manchetser United wakilitaka kombe pekee la ulaya ambalo hawajawahi kulitwaa baada ya kutwaa mengine yote yalliyobakia.
Hii itakuwa ni mara ya 5 kwa timu hizi kukutana kwenye mashindano barani ulaya na kila timu kushinda mara 2.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |