Ubalozi wa China nchini Pakistan umethibitisha kuwa raia wawili wa China wametekwa nyara kwenye eneo la Quetta mkoani Baluchistan, kusini magharibi mwa Pakistan, na watekaji bado hawajatambuliwa. Ubalozi huo umeitaka Pakistan ifanye juhudi kuwaokoa mateka hao. Hivi sasa hakuna kundi lolote lililotangaza kuhusika na tukio hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |