Mamlaka ya usimamizi wa maafa nchini Sri Lanka imesema mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini humo yamesababisha vifo vya watu 146, watu 100 hawajulikani walipo na wengine zaidi ya milioni moja wameathiriwa. Hivi sasa majeshi, polisi na vikosi vya uokoaji vinaendelea na kazi ya uokoaji kwenye maeneo yaliyoathiriwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |