Carrick, ambae Mkataba wake wa sasa ulikuwa ukiisha Juni 4, ameeleza kufurahishwa kuendela kuchezea klabu hiyo. Juni 4 inatarajiwa kuchezwa mechi maalum uwanjani Old Trafford kwa ajili ya kumuenzi Carrick kwa utumishi wake mwema na Man United.
Carrick, ambae ni mchezaji wa kimataifa wa England, akiwa na Man United ameweza kutwaa UEFA Champions Ligi, Ligi ya Ulaya, kombe la FA na kombe la ligi mara 2.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |