Kampuni ya chai Limuru Tea imemteua Nicholaos Yiannakis kuwa mkurungezi na mwenyekiti wake.
Nicholaos Yiannakis awali akuwa mkurungezi kwenye kampuni ya Unilever Tea Tanzania na anachukua mahali pa Duncan Stickler ambaye anastaafu.
Sasa akiwa kwenye nafasi yake mpya anatarajiwa kukuza mapato ya kampuni hiyo ambayo mwezi Februari iliwaonya wenye hisa kwamba kutakuwa na upungufu wa faida kwa asilimia 25.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |