• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • East Africa: Umoja wa Ulaya imetenga sh bilioni 272 za biashara ndogo za Comesa

    (GMT+08:00) 2017-06-05 20:21:47
    Umoja wa Ulaya imetenga sh bilioni 272 ili kusimamia kifedha oparesheni za biashara ndogo ndogo sehemu za mipakani katika Soko la Pamoja la Mashariki na Kusini mwa Afrika (Comesa).

    Kwa mujibu wa makubaliano mawili ya fedha za Umoja wa Ulaya EU iliyo saini na Comesa, sh bilioni 212 itatengwa ili kuwezesha mpango wa biashara na sh bilioni 60 itakwenda kwa wafanyibiashara wa dogo katika sehemu za miapakani.

    Mikataba iliyosainiwa wiki iliyopita Lusaka na balozi wa Umoja wa Ulaya EU Zambia na Mwakilishi wa Comesa, Bw Alessandro Mariani, na Katibu Mkuu wa Comesa Sindiso Ngwenya ni sehemu ya Comesa ya Shs bilioni 340b.

    Mpango wa kuwezesha biashara unatarajiwa kupunguza gharama za kufanya biashara na kusonga bidhaa katika eneo la Comesa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako