Jumla ya mapato katika miezi 10 ilikuwa sh trilioni 1.563,ripoti ya hivi karibuni ya Mapato Halisi imeonyesha .
Miezi miwili hadi mwisho wa mwaka wa fedha 2016-17 mwezi Aprili 30, Hazina ya fedha ilkuwa na na pengo la Sh bilioni 491 kutokana na mapato yake mapya ya Sh trilioni 2.054
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |