• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • East Africa: China imesema iko tayari kufadhili kifedha ujenzi wa reli ya kati SGR ya  Afrika Mashariki

    (GMT+08:00) 2017-06-05 20:27:29

    China imesema iko tayari kufadhili kifedha ujenzi wa reli ya kati SGR kutoka Kisumu nchini Kenya hadi Uganda na Rwanda kama tu nchi hizi tatu zitakubali kushughulikia mradi pamoja.

    Kwa mujibu wa Beijing, makubaliano hayo kati ya nchi hizo tatu itapunguza hatari ya kisiasa na kuunganisha uhusiano uliyopotea.

    Mwezi Mei tarehe 31, Rais Uhuru Kenyatta alizindua oparesheni ya awamu ya kwanza ya reli ya kati SGR kutoka Mombasa hadi Nairobi ambayo iligharimu sh bilioni 3.27.

    Hapo alitangaza uwezekano wa awamu ya pili kutoka Naivasha hadi Kisumu, ambapo China ina nia ya kupeana mkopo wa dola bilioni 3.6.

    Pia inafadhili sehemu ya kutoka Nairobi hadi Naivasha kwa dola bilioni1.5.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako