Katika taarifa kupitia kwa vyombo vya habari,Sudan imependekeza nchi za Saudi Arabia,Bahrain,Misri,Yemen na Libya kuondoa marufuku ya kufanya shughuli ya biashara na kidiplomasia kwani hatua hiyo itaathiri pakubwa uchumi na biashara.
Wizara ya mambo ya masuala ya nje nchini Sudan imetoa ushauri wa majadiliano ya utulivu na busara.
Rais Omar Al Bashir wiki hii ameanda kikao cha dharura na balozi wa Kuwait kuhusiana na mizozo inayondelea Qtara.
Sudan ina uhusiano imara wa biashara uwekezaji na uchumi na Qatar naimesema haitasitisha ushirikiano wao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |