• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Uganda: mauzo ya nje ya kikanda imeshuka

    (GMT+08:00) 2017-06-07 19:32:19
    Jumla ya mauzo ya nje ya chai Afrika Mashariki katika mnada wa Mombasa ilirekodi kushuka kwa asilimia 16, ripoti ya hivi karibuni imeonyesha.

    Kwa mujibu wa mnada uliofanyika mwezi Mei tarehe 22 na 23, jumla ya kilo milioni 7.7 ya chai ilitumwa nje, kutoka mauzo ya nje ya maguni milioni kilo 9 mwaka jana.

    Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mnada wa Afrika Mashariki wa mauzo ya nje ya chai, ni jumla ya kilo milioni 8.5 ya mifuko ya chai zilitolewa kutoka kilo milioni 9.5 iliyotolewa mwaka uliopita.

    pato ya kanda inaonyesha kushuka kwa asilimia 11 ya jumla ya chai zinazotolewa kwenye soko na wawekezaji tisa kutoka Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda, Burundi, DR Congo, Malawi, Madagascar, na Msumbiji.

    Kenya, mzalishaji mkubwa, jumla ya mauzo yake ya nje ilikuwa maguni milioni 5.8 chini, kutoka maguni milioni 7.5 ambayo iliuzwa mwaka jana, na bado kuandikisha kushuka kwa asilimia 29.

    Hata hivyo, ripoti ilionyesha kuwa Uganda, Rwanda, Tanzania, na Msumbiji iliandikisha kuongezeka kwa mauzo yao ikilinganishwa na mauzo ya nje ya mwaka jana sawa na kipindi kama hicho.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako