Kwa mujibu wa mnada uliofanyika mwezi Mei tarehe 22 na 23, jumla ya kilo milioni 7.7 ya chai ilitumwa nje, kutoka mauzo ya nje ya maguni milioni kilo 9 mwaka jana.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mnada wa Afrika Mashariki wa mauzo ya nje ya chai, ni jumla ya kilo milioni 8.5 ya mifuko ya chai zilitolewa kutoka kilo milioni 9.5 iliyotolewa mwaka uliopita.
pato ya kanda inaonyesha kushuka kwa asilimia 11 ya jumla ya chai zinazotolewa kwenye soko na wawekezaji tisa kutoka Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda, Burundi, DR Congo, Malawi, Madagascar, na Msumbiji.
Kenya, mzalishaji mkubwa, jumla ya mauzo yake ya nje ilikuwa maguni milioni 5.8 chini, kutoka maguni milioni 7.5 ambayo iliuzwa mwaka jana, na bado kuandikisha kushuka kwa asilimia 29.
Hata hivyo, ripoti ilionyesha kuwa Uganda, Rwanda, Tanzania, na Msumbiji iliandikisha kuongezeka kwa mauzo yao ikilinganishwa na mauzo ya nje ya mwaka jana sawa na kipindi kama hicho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |