Kongamano la ngazi ya juu la vyombo vya habari nchi za Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini zinazounda kundi la BRICS limefunguliwa hapa Beijing. Kauli mbiu ya kongamano hilo ni kuimarisha ushirikiano wa vyombo vya habari vya nchi za BRICS, na kuhimiza haki na usawa wa maoni ya umma ya kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |