Nyota huyu kutoka klabu ya KCB aliifungia Kenya Simbas pointi13 ikiwa ni pamoja na pointi 6 za mwisho.
Uganda ilijitutumua na kupunguza uongozi wa pointi za Kenya hadi pointi 18-10. Baada ya mapumziko, Kenya ilirejea katika kipindi cha pili kwa kishindo, na hadi mchezo unamalizika Kenya waliibuka kidedea. Mchezo wa marudiano utafanyika Juni 24.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |