Ofisa Habari wa TFF, Alfred Lucas, amesema kwamba baada ya kufunguliwa litafungwa Agosti 6, mwaka huu na ameitaka kila timu inayoshiriki michuano husika kufuata kalenda hiyo kwani hakutakuwa na muda wa nyongeza kwa timu ambazo hazitakamilisha usajili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |