Kocha mkuu wa timu hiyo amepanga kufanya mabadiliko kidogo cha kikosi kitakachokwenda kushiriki michuano hiyo kwa kuwatambulisha leo watakaojiunga na wenzao.
Michuano ya COSAFA itaanza Juni 25 Afrika Kusini kwa kushirikisha timu wanachama wa baraza hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |