Uganda imesherehekea miaka 24 ya Mashujaa, huku nchi hiyo ikiendelea kukumbwa na changamoto za kiusalama. Licha ya mafanikio yaliyopatikana katika kipindi hicho, vyama vya upinzani vimeikosoa serikali kutokana na kuendelea kuwepo kwa matukio ya kukosekana kwa usalama.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |