Tume ya kuratibu mishahara ya wafanyakazi wa umma ya Kenya SRC, imetangaza kuwa kuanzia mwezi Julai mishahara ya walimu inatarajiwa kuongezeka, baada makubaliano kuhusu nyongeza hiyo kusainiwa na kati ya vyama vya walimu na serikali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |