Jumamosi Julai 29 mtoto hatumwi dukani, bondia Cris Cyborg atapanda ulingoni kupigana na Megan Anderson kuwania taji la UFC 214 uzito wa feather kwa upande wa wanawake.
Wawili hao watawania taji lililoachwa wazi na Germaine de Randamie aliyevuliwa ubingwa huo kwa kukataa kupigana na Cyborg. Pambano hilo litafanyika。
UFC inasisitiza kuwa bingwa yeyote anatarajiwa kukubali mapambano dhidi ya wapinzani wanaopangiwa kupigana nao j ili kudumisha uadilifu wa mchezo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |