Kamati ya uchaguzi ya Afghanistan imetangaza kuwa uchaguzi wa bunge jipya la nchi hiyo utafanyika Julai 7 mwaka kesho na kazi ya maandalizi ya uchaguzi huo inaendelea. Mwenyekiti wa kamati hiyo amesema mchakato mzima wa uchaguzi huo utafanyika kwenye msingi wa uwazi na haki, na vitendo vya kujaribu kuvuruga uchaguzi huo vitakabiliwa na adhabu za kisheria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |