Ureno ndio wametwaa ushindi wa kundi A na sasa watacheza na mshindi wa pili wa kundi B wakati Mexico, ambao waliwapiga wenyeji Russia 2-1 na kuwatupa nje, wakishika ushindi wa pili wa kundi B na sasa watacheza na mshindi wa kundi A kwenye nusu fainali. Nayo Cameroon na Australia zimetoka sare ya 1-1 katika mechi yao ya pili ya kundi B.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |