Phillip Wokorach alifungua bao kwa mpira wa adhabu katika nusu ya kwanza na kuifanya Kenya kuongoza kufanya 3-0. Uganda ilijipanga na kuanza mvua ya magoli na hadi mwisho wa mechi Uganda Cranes ikiibuka ushindi wa 10-3 dhidi ya The Simbas wa Kenya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |